Rayv94.Blogspot.com
Baada ya kuona Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo JULIANA SHONZA kuwataka wasanii ambao wamekuwa wakikaa nusu utupu katika mitandao ya kijamii na kwenye music videos zao kuwa wanahitajika kuripoti BASATA wakiwemo wasanii Gigy Money ,na Sanchi
Baada ya kuona Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo JULIANA SHONZA kuwataka wasanii ambao wamekuwa wakikaa nusu utupu katika mitandao ya kijamii na kwenye music videos zao kuwa wanahitajika kuripoti BASATA wakiwemo wasanii Gigy Money ,na Sanchi
Baada ya Pretty Kind kutangazwa kufungiwa miezi 6 katika kazi yake ya sanaa Jacquline Wolper kupitia account yake ya instagram alipost picha ya wanawake wamevaa mabaibui na kuandika maneno haya“Akuna namna dadekiiii mambo ya miezi 6 sitakiii” Baada ya dk kazaa ali amua kuondoa maneno hayo.
Naomba comments hapa..

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni